Ad Code

Responsive Advertisement

FURAHA YA MOYO WA MWANAMKE (FMM)

FURAHA YA MOYO WA MWANAMKE

Head letter 


Kanisa La Kawe Pentecostal asembles of God  (KPC) limeanzisha huduma mpya ya 

ya wanawake washirika na wasiokuwa washirika ili kuitangaza kazi ya Mungu kwa 

watu wote. huduma Hiyo imepewa Jina la FURAHA  YA MOYO WA MWAMAMKE (FMM)

"Tumelenga kuifikia Jamii yote kwa ujumla ili kuyaleta mavuno mengi nyumbani kwa bwana

sisi wanawake ni kanisa na ndio wenye jukumu zaidi ya kulea kanisa na jamii, Hivyo huduma hiyo 

itawasogeza wengi mikononi mwa Bwana. " Alisma Dorithy Ngaja.

Eidha kiongozi huyo wa kanisa hilo, ameitambulisha logo/nembo itakoyo tumika katika  shughuli 

zote zitakazo fanywa na FMM. 

FMM Logo

Pia wameambatanisha na kauli mbiu ya nembo hiyo Kwa ." MKAMATE SANA ELIMU USIMWACHE AENDE ZAKE.

Ikiwa ni moja ya lengo kuu la huduma hiyo.



Post a Comment

0 Comments

Ad Code

Responsive Advertisement